Nyimbo Za Kristo – Swahili SDA Hymns
Wimbo 111 TABIBU MKUU nyimbo za wokovu
1
Tabibu mku-u huyu,
Yesu mwenye huruma;
Atuletaye faraja:
Yesu, Mwokozi wetu.
Imbeni, Malaika
Sifa Za Bwana wetu;
Jina la pekee kwetu,
ni la Yesu Bwana.
2
Mwana Kondo-o
Msifuni Mwokozi
Hatia zote na dhambi
Huziondoa Yesu.
3
Hakuna jina jingine
Linalofa-a sifa;
A-u kutufurahisha.
Isipokuwa lake.
4
Naye atakapokuja
Na utukufu wake.
Tutafurahi milele
Kuka-a kwake Bwana.