Skip to content

info@example.com

Treasure Hymns- Swahili

  • About
  • Contact
  • Nyimbo Za Kristo – Swahili SDA Hymns Orodha
  • Nyimbo Za Sifa Hymns Orodha
  • Nyimbo Za Wokovu Orodha
  • Nyumbani
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Terms and Conditions
  • Terms of Service
  • About
  • Contact
  • Nyimbo Za Kristo – Swahili SDA Hymns Orodha
  • Nyimbo Za Sifa Hymns Orodha
  • Nyimbo Za Wokovu Orodha
  • Nyumbani
  • Privacy Policy
  • Sample Page
  • Terms and Conditions
  • Terms of Service

Wimbo 112 Enyi Wanadamu. Maneno ya wimbo

  1. Home   »  
  2. Wimbo 112 Enyi Wanadamu. Maneno ya wimbo

Wimbo 112 Enyi Wanadamu. Maneno ya wimbo

Disemba 12, 2025 treasurehymnsnyimbo za sifa

Nyimbo Za Sifa

Wimbo 112 Enyi Wanadamu. Maneno ya wimbo

 

Enyi wanadamu mbona
Sana mwatanga-tanga,
Kama kondoo wanyonge,
Wasio na mchunga?
Yuko Mchunga Mmoja
Mwenye mapenzi mama;
Haya kutaneni kwake,
Atawachunga vyema.

Mungu tunamwona kuwa
Mwenye uwezo wote;
Na nguvu zake zapita
Mawazo yetu yote;
Ni Baba, mapenzi yake
Ni makubwa hakika;
Hatuwezi kuyajua
Na hayana mpaka.

Rehema za Mungu nazo
Zina upana sana;
Kama huo wa bahari,
Mwisho wake hapana;
Haki yake ina mema.
Kwa hayo twashukuru,
Kwetu uko msamaha
Furaha na uhuru.

Mapenzi yake mapana,
Slsi hatuna cheo
Cha kutosha, nao moyo
Una wema upeo;
Ukombozi mwingi mno
Katika damu yake;
Sote twapata furaha
Kwa maumivu yake.

Yesu mkaribieni
Njoni kwaka kwa imani,
Mama yake ni hayo
Heri tuwa kama wana
Tushike neno Iake.
Daima atatujaza
Tele furaha yake.

Urambazaji wa chapisho

Previous: Wimbo 111 Ni Ujumbe wa Bwana. Maneno ya wimbo
Next: Wimbo 113 Bwana Yesu. Maneno ya wimbo

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Hymns You May Like

  • Wimbo 106 Kilima Kando ya Mji. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 146 TWAE WANGU UZIMA nyimbo za wokovu
  • Wimbo 105 MCHUNGAJI MPENZI nyimbo za wokovu
  • Wimbo 69 Nyimbo Na Tuziimbe Tena Maneno ya wimbo
  • Wimbo 44 URAFIKI WA YESU nyimbo za wokovu
  • Wimbo 20 MUNGU WETU YEYE MWAMBA nyimbo za wokovu
  • Wimbo 103 Ni Siku Kuu Maneno ya wimbo
  • Wimbo 13 Na Tumwabudu Huyo Mfalme Maneno ya wimbo
  • Wimbo 57 Nimeifikia Nchi Maneno ya wimbo
  • Wimbo 151 Zamani Watoto Waliletwa Maneno ya wimbo
  • Wimbo 130 YESU KWETU NI RAFIKI nyimbo za wokovu
  • Wimbo 129 KUMTEGEMEA MWOKOZI nyimbo za wokovu
  • Wimbo 105 Siku Ya Mbingu Maneno ya wimbo
  • Wimbo 70 WAPENZI WA BWANA nyimbo za wokovu
  • Wimbo 19 Kaa Nami Maneno ya wimbo
  • Wimbo 35 NIMEKOMBOLEWA NA YESU nyimbo za wokovu
  • Wimbo 131 BABA ANILINDA nyimbo za wokovu
  • Wimbo 177 Mwokozi Wangu Alinifia Maneno ya wimbo
  • Wimbo 112 Yesu Ni Jina Nipendalo Maneno ya wimbo
  • Wimbo 175 USO KWA USO nyimbo za wokovu
  • Wimbo 64 Mteteeni Yesu Maneno ya wimbo
  • Wimbo 25 Mungu ni Pendo. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 118 Bwana Yesu Atakuja. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 86 Eneza Habari Humu Duniani Maneno ya wimbo
  • Wimbo 23 Yesu Unihifadhi Maneno ya wimbo
  • Wimbo 84 Aliteswa, Aliteswa. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 90 MAPYA NI MAPENZI HAYO nyimbo za wokovu
  • Wimbo 82 Mungu Alituma Kwangu Maneno ya wimbo
  • Wimbo 36 SIKU KUU nyimbo za wokovu
  • Wimbo 142 Wachunga Walipolinda. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 2 Twende Kwake. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 39 ATI, KUNA MVUA NJEMA nyimbo za wokovu
  • Wimbo 39 Nilikupa Wewe Maneno ya wimbo
  • Wimbo 73 Ushirika Mkuu, Furaha Yangu Maneno ya wimbo
  • Wimbo 89 Siku ya Mbingu Kujawa na Sifa. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 33 Wakati Wangu Kuomba Maneno ya wimbo
  • Wimbo 160 WATAKATIFU KESHENI nyimbo za wokovu
  • Wimbo 100 Deni Yangu Ya Dhambi Maneno ya wimbo
  • Wimbo 200 Najua Jina Niliheshimulo Maneno ya wimbo
  • Wimbo 4 Msalabani Pa Mwokozi Maneno ya wimbo
  • Wimbo 137 Ni Usiku wa Manane,Wimbo Mbinguni Unatoka. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 152 Mle Kaburini, Yesu Mwokozi. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 47 Akifa Yesu Nikafa Naye Maneno ya wimbo
  • Wimbo 18 Ninaye Rafiki Naye. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 93 Huyo Ndiye! Anashuka. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 2 Mwamba Wenye lmara. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 40 Kivulini Mwa Yesu. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 2 TWAMSIFU MUNGU nyimbo za wokovu
  • Wimbo 169 TUTASHINDAJE HUKUMUNI? nyimbo za wokovu
  • Wimbo 75 Nikimaliza Kazi Ya Maishani Maneno ya wimbo
  • Wimbo 143 Wakristo walio na Furaha. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 54 Ni Siku Kuu Siku Ile. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 93 Ndiyo Damu Ya Baraka Maneno ya wimbo
  • Wimbo 203 Nikilemewa Na Mizigo Mingi Maneno ya wimbo
  • Wimbo 166 Tumesikia Mbiu Maneno ya wimbo
  • Wimbo 132 BWANA NI MCHUNGA nyimbo za wokovu
  • Wimbo 140 Siku Hizi Ni Za Mwisho Maneno ya wimbo
  • Wimbo 35 Waitwa, Mwovu, na Bwana. Maneno ya wimbo
  • Wimbo 121 Usikawie Kumwamini Maneno ya wimbo
  • Wimbo 71 KESHENI KAOMBENI nyimbo za wokovu

Archives

  • Disemba 2025

Categories

  • Nyimbo Za Kristo – Swahili SDA Hymns
  • nyimbo za sifa
  • nyimbo za wokovu
  • Uncategorized
Proudly powered by WordPress | Theme: goldy-mex by inverstheme.
Go to mobile version