Nyimbo za wokovu
Wimbo 214 Katika Neema Ya Yesu Maneno ya wimbo
Katika neema ya Yesu, nimeokolewa,nNilipotea dhambini, nilikuwa kipofu
rohoni.
n
Bali neema ya Yesu yanitosha sananIlinifumbua macho yangu, ikanifungua.
n
Kilikuwa mwenye hofu nilifungwa nazonNimefunguliwa sasa kwa neema ya Yesu
n
Nitamsifu Bwana wangu maishani mwote,nKwani nnina ushirika msalabani mwake
n
Tutakapofika wote Mbinguni kwa MungunTutashukuru neema ya Yesu milele.