Nyimbo za wokovu
Wimbo 157 Bwana Amefufuka Maneno ya wimbo
Bwana amefufuka, Aleluya,
Twimbe na malaika, Aleluya.
Sifa zetu na shangwe Aleluya.
Na zao zisitengwe.
Aleluya.
Ukombozi timamu, Aleluya.
Umetimu kwa damu, Aleluya
Mshindi asifiwem Aleluya.
Yu hai kwa milele, Aleluya.
Jiwe, lindo, muhuri Aleluya.
Vi wapi? na kaburi? Aleluya.
Kifo hakimuweki, Aleluya.
Ametoka peponi, Aleluya.
Yu hai Mtukufu; Aleluya,
Cha kifo hatuhofu! Aleluya.
Alitufia sisi, Aleluya.
Tuwe mahuru nasi, Aleluya.